FOLLOWERS!!

My Instagram

Search This Blog

Powered by Blogger.

AJALI!! AJALIIIII!! MBAYA SANA RUSUMO BORDER!!




PICHA/HABARI.

Kumetokea Ajali ya basi dogo lililokuwa limebeba Wafanyakazi wa Kambi ya Wachina wanaofanyakazi ya ujenzi wa Mradi wa Umeme Rusumo wilayani #Ngara mkoani #Kagera leo April 02/2019 majira ya asubuhi hii, taarifa zinaeleza kwamba Watu wawili wamefariki  na Majeruhi wamekimbizwa Hospitali ya Murugwanza na Nyamiaga kwa matibabu zaidi.

Taarifa zaidi tutaendelea waletea


YETUSOTE BLOG

No comments